Friday, April 7, 2017

Social Network Leo (Instagram, 255exclusive): BABU TALE AMJIA JUU Mh PAUL MAKONDA, AMUULIZA ROMA YUPO WAPI??


  
Uoga ni uzembe me nazani mwenye jukumu la kujua Roma yupo wapi ni Mkuu wa koa sababu yeye ndio kiongozi wa kamati ya usalama ya mkoa sasa ikiwa tumezunguka vituo vyote vya polisi na mwenzetu atumuoni nani wa kumfuata kumwambia tunamtaka mwenzetu kama sio @paulmakonda me naanza hili bila uoga mkuu wa mkoa naomba utusaidie kutuambia mnzetu @roma2030 alipo. Tukutane Tongwe mida hii me nipo kwa foleni wakuu #uogauzembe#freeroma
.
KAMA UNAKUBALI HARAKATI YA FREE ROMA WEKA COMMENT YAKO HAPA **FREE ROMA **

harmonize_tz
UnlikeComment
3,435 likes
  • harmonize_tzDAAAAAAAH NAONA HILI SWALA SASA LINAZIDI KUWA KUBWA TUMUOGOPE MUNGU JAMANI WATU WANA FAMILY ZAO......!!!! SIO POA.....!!... more




Si maneno yangu.

 Endelea kuitembelea DJ WILLKAN BLOG
kwa kulike Page yetu ya Facebook,..DJWillkan.com, pia Instagram: @djwillkan_zekanvol
tufollow pia Twitter: @Djkanvol

No comments:

Post a Comment