Saturday, April 29, 2017

Soko la Mbao Kambarage Shinyanga kuteketea kwa moto

Soko maarufu kwa biashara za mbao mjini Shinyanga la Kambarage linateketea kwa moto Muda huu, huku fire wakishindwa kuudhibiti moto huo, umbali kutoka kituo cha fire kuja sokoni ni kama mita 500, lakini hawakufika kwa wakati hivo kusababisha sehemu kubwa ya soko kukeketwa kabisa. 

CHANZO CHA HABARIwww.jamiiforums.com

 Endelea kuitembelea DJ WILLKAN BLOG
kwa kulike Page yetu ya Facebook,..DJWillkan.com, pia Instagram: @djwillkan_zekanvol
tufollow pia Twitter: @Djkanvol
 
 

No comments:

Post a Comment