
Amesema hayo kwenye Kipindi cha XXL cha cloudsfm ambapo alikua ana’review album yake ya kwanza “Cinderella”
Week iliyopita alikiba alikua nchini Kenya ambapo alienda kwa ajili coke studio ambapo pia alipata nafasi ya kukutana na mshindi wa tuzo ya Oscar ‘Lupita Nyon’go’ ambae ni balozi mwenzie kwenye kampeni ya kupinga ujangili wa Tembo.
djwillkan.blogspot.com
No comments:
Post a Comment